KILIMANJARO QUEENS WAKIJIFUA UHURU KUJIANDAA NA CECAFA CHALLENGE YA WANAWAKE
Wachezaji wa kikosi cha Tanzania Bara 'Kilimanjaro Queens' wakifanya mazoezi chini ya kocha wao, Bakari Shime (kulia) kujiandaa na michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFA Challenge ya Wanawake inayotarajiwa kuanza Novemba 16 hadi 24 Uwanja wa Azam Complex, Chamazi mjini Dar es Salaam
Kilimanjaro Queens ni mabingwa mara mbili mfululizo wa michuano hiyo ambao wamepania kutwaa taji la tatu nyumbani
Leo kikosi kimefanya mazoezi Uwanja wa Uhuru, lakini kambi yao ipo Azam Complex, Chamazi
Faninfos für das Auswärtsspiel in Leipzig
-
Am Samstag (27.04.) spielt Borussia Dortmund um 15:30 Uhr in Leipzig. Rund
4.700 Fans aus Dortmund werden den BVB unterstützen. Wir haben für alle
mitreise...
Dodgers pitcher makes incredible reflex catch
-
Watch as Los Angeles Dodgers pitcher Yoshinobu Yamamoto catches a ball
travelling at 104mph during their 2-1 win over the Washington Nationals.
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment