• HABARI MPYA

    Saturday, October 12, 2019

    AZAM FC YAWACHAPA GREEN WARRIORS 5-0 KATIKA MECHI YA KIRAFIKI CHAMAZI LEO

    Wachezaji wa Azam FC wakipongezana kwa ushindi wa 5-0 dhidi ya Green Warriors kwenye mchezo wa kirafiki usiku wa leo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi mjini Dar es Salaam mabao ya Abalkassim Khamisi mawili, Muivory Coast Richard Ella D'jodi, Mzimbabwe Donald Ngoma na Mrundi Suleiman Ndikumana moja kila mmoja 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AZAM FC YAWACHAPA GREEN WARRIORS 5-0 KATIKA MECHI YA KIRAFIKI CHAMAZI LEO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top