Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Kassim Majaliwa (kulia) akiwa na Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia wakifuatilia mchezo wa kirafiki baina ya timu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 20, Ngorongoro Heroes na Morocco leo Uwanja wa Uhuru mjini Dar es Salaam. Ngorongoro imeshinda 1-0.
Waziri Mkuu, Dk. Kassim Majaliwa (kulia) akifurahia soka ya Ngorongoro Heroes
Waziri Mkuu, Dk. Kassim Majaliwa (kulia) hapa akisalimiana na kiongozi wa Morocco
Waziri Mkuu, Dk. Kassim Majaliwa (kulia) akiwasabahi baadhi ya wadau waliojitokeza uwanjani
Wananchi na wapenzi wa soka wakionyesha mapenzi yao kwa Waziri Mkuu, Dk. Kassim Majaliwa kwa kumpungia mikono
Marcus Rashford's rollercoaster career: A dream start with two goals in Man
United victory, campaigning against child poverty, a 12-hour tequila bender
and social media abuse
-
The forward has had a difficult season on the pitch, failing to match the
achievements of his 30-goal haul during the 2022-23 campaign, scoring eight
times...
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment