Mshambuliaji Cristiano Ronaldo akiwa mazoezini na wachezaji wenzake wa Real Madrid Uwanja wa Parc des Princes mjini Paris, Ufaransa jana kujiandaa na mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya wenyeji, Paris Saint Germain leo wakihitaji kuulinda ushindi wao wa 3-1 kwenye mchezo wa kwanza mjini Madrid wiki mbili zilizopita PICHA ZAIDI GONGA HAPA
U18s preview | Norwich City v Arsenal
-
Everything you need to know as our young Gunners make the trip to East
Anglia to face Norwich City
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment