Sadio Mane wa Liverpool akiruka juu kuwania mpira katikati ya wachezaji wa Porto usiku wa Jumanne katika mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya uliomalizika kwa sare ya 0-0 Uwanja wa Anfield. Liverpool inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 5-0 ilizozipata kwenye mchezo wa kwanza mjini Porto PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cowboys Rumors: Latest on Ezekiel Elliott Contract Talks After Missing on
RB Brooks
-
The Dallas Cowboys lost Tony Pollard in free agency and watched as the
Carolina Panthers traded up in the second round to take the top running
back on the…
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment