Mshambuliaji Luis Suarez akiwa amemrukia mgongoni Gerard Pique kumpongeza beki huyo kwa kufunga bao la kusawazisha dakika ya 82 katika sare ya 1-1 na Espanyol kufuatia Gerard Moreno kuwafungia wenyeji bao la kuongoza dakika ya 66 kwenye mchezo wa La Liga leo Uwanja wa RCDE mjini Cornella de Llobregat PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mark Allen believes he's found the balance to keep on partying but stay
focused on his game as he looks to land his first-ever Snooker world title
-
Mark Allen believes he has found the right balance and there is still time
to party as he bids to win his first Snooker world title.
46 minutes ago
0 comments:
Post a Comment