Mshambuliaji Luis Suarez akiwa amemrukia mgongoni Gerard Pique kumpongeza beki huyo kwa kufunga bao la kusawazisha dakika ya 82 katika sare ya 1-1 na Espanyol kufuatia Gerard Moreno kuwafungia wenyeji bao la kuongoza dakika ya 66 kwenye mchezo wa La Liga leo Uwanja wa RCDE mjini Cornella de Llobregat PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Red Bull set to replace Lawson with Tsunoda
-
Red Bull are set to drop Liam Lawson after just two races and replace him
for the Japanese Grand Prix with Yuki Tsunoda.
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment