Mshambuliaji Luis Suarez akiwa amemrukia mgongoni Gerard Pique kumpongeza beki huyo kwa kufunga bao la kusawazisha dakika ya 82 katika sare ya 1-1 na Espanyol kufuatia Gerard Moreno kuwafungia wenyeji bao la kuongoza dakika ya 66 kwenye mchezo wa La Liga leo Uwanja wa RCDE mjini Cornella de Llobregat PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Resurgent Daniel Ricciardo stuns the field in Miami with a result even the
Aussie himself couldn't believe
-
Daniel Ricciardo delivered an impressive performance at the Miami Grand
Prix, securing the fourth-fastest time in qualifying for Saturday's sprint
race
49 minutes ago
0 comments:
Post a Comment