NYOTA mpya wa Azam FC, Ibrahim Ajib akifanya mazoezi ya kwanza na timu hiyo leo visiwani Zanzibar baada ya kusajiliwa kutoka Simba SC. Azam FC ipo Zanzibar kwa ajili ya michuano ya Kombe la Mapinduzi, na leo asubuhi imefanya mazoezi ya mwisho kabla ya kesho Jumanne kumenyana na Meli 4 City kwenye Uwanja wa Amaan Saa 2.15 usiku.
-
YOUNG Africans have reignited their hopes of reaching the quarterfinals of
the CAF Champions League following a vital 1-0 victory over Al Hilal at
the C...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment