Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia mabao matatu Juventus dakika za 49, 67 kwa penalti na 82 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Cagliari kwenye mchezo wa Serie A jana Uwanja wa Allianz mjini Torino, bao lingine likifungwa na Gonzalo Higuain. Hiyo inakuwa hat trick ya 56 kwake na ya 36 kwenye ligi pekee, ambayo ni idadi kubwa tangu Januari mwaka 2008 kwenye ligi tano kubwa za Ulaya PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Gary Neville reveals why he WON'T be at Nottingham Forest's clash with Man
City this weekend amid Sky row, as he accuses Mark Clattenburg of acting
'like a Navy Seal' and giving the team an excuse NOT to win
-
Gary Neville (right) has revealed he will not be covering Nottingham Forest
's Premier League clash with title-chasing Man City on Sunday amid the
club's r...
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment