Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia mabao matatu Juventus dakika za 49, 67 kwa penalti na 82 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Cagliari kwenye mchezo wa Serie A jana Uwanja wa Allianz mjini Torino, bao lingine likifungwa na Gonzalo Higuain. Hiyo inakuwa hat trick ya 56 kwake na ya 36 kwenye ligi pekee, ambayo ni idadi kubwa tangu Januari mwaka 2008 kwenye ligi tano kubwa za Ulaya PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man City hijack Arsenal's move for Jeremy Monga as they step up their bid
to land Leicester's teen star with Gunners falling short of £10m price tag
-
SIMON JONES: The 16-year-old Leicester City winger had been set on a move
to Arsenal and looked destined to sign.
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment