• HABARI MPYA

    Wednesday, November 06, 2019

    LIVERPOOL YAENDELEZA WIMBI LA USHINDI LIGI YA MABINGWA ULAYA

    Kiungo Alex Oxlade-Chamberlain akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Liverpool bao la ushindi dakia ya 53 ikiilaza KRC Genk 2-1 usiku wa jana Uwanja wa Anfield katika mchezo wa Kundi E Ligi ya Mabingwa Ulaya. Bao la kwanza la Liverpool lilifungwa na Georginio Wijnaldum dakika ya 14, wakati la Genk lilifungwa na Mbwana Samatta dakika ya 40 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LIVERPOOL YAENDELEZA WIMBI LA USHINDI LIGI YA MABINGWA ULAYA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top