Kiungo Alex Oxlade-Chamberlain akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Liverpool bao la ushindi dakia ya 53 ikiilaza KRC Genk 2-1 usiku wa jana Uwanja wa Anfield katika mchezo wa Kundi E Ligi ya Mabingwa Ulaya. Bao la kwanza la Liverpool lilifungwa na Georginio Wijnaldum dakika ya 14, wakati la Genk lilifungwa na Mbwana Samatta dakika ya 40 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Poehling scores early in OT, Ducks push Oilers to the brink
-
Ryan Poehling scored 2:29 into overtime, and Anaheim rallied to take a 3-1
series lead on Connor McDavid and Edmonton.
56 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment