Kiungo Alex Oxlade-Chamberlain akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Liverpool bao la ushindi dakia ya 53 ikiilaza KRC Genk 2-1 usiku wa jana Uwanja wa Anfield katika mchezo wa Kundi E Ligi ya Mabingwa Ulaya. Bao la kwanza la Liverpool lilifungwa na Georginio Wijnaldum dakika ya 14, wakati la Genk lilifungwa na Mbwana Samatta dakika ya 40 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: How a dismal week in the Champions League affects the Premier
League's bid for FIVE spots next season - and why Man United and Co should
have an eye on Thursday's games
-
This means that those countries receive an extra place in the Champions
League, as demonstrated last year when Newcastle came fifth in the Premier
League b...
36 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment