Kiungo Alex Oxlade-Chamberlain akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Liverpool bao la ushindi dakia ya 53 ikiilaza KRC Genk 2-1 usiku wa jana Uwanja wa Anfield katika mchezo wa Kundi E Ligi ya Mabingwa Ulaya. Bao la kwanza la Liverpool lilifungwa na Georginio Wijnaldum dakika ya 14, wakati la Genk lilifungwa na Mbwana Samatta dakika ya 40 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Fears over state police justified – Sheikh Gumi
-
Islamic cleric, Sheikh Ahmad Gumi said the fears expressed by critics of
state police were justified.
The post Fears over state police justified – Sheikh...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment