Kiungo Alex Oxlade-Chamberlain akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Liverpool bao la ushindi dakia ya 53 ikiilaza KRC Genk 2-1 usiku wa jana Uwanja wa Anfield katika mchezo wa Kundi E Ligi ya Mabingwa Ulaya. Bao la kwanza la Liverpool lilifungwa na Georginio Wijnaldum dakika ya 14, wakati la Genk lilifungwa na Mbwana Samatta dakika ya 40 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Man City 'are already preparing for life after Pep Guardiola' and believe
Girona's Michel could be the man to 'continue his legacy' after stunning
season in LaLiga
-
The club are working on a succession plan for their manager, whose contract
expires in the summer of 2025. Guardiola hinted he could extend his deal at
the...
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment