Reece James akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la kusawazisha dakika ya 74 ikitoa sare ya 4-4 na Ajax Uwanja wa Stamford Bridge mjini London katika mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya. Mabao mengine ya Chelsea yalifungwa na Jorginho mawili yote kwa penalti dakika ya nne nan 71 na Cesar Azpilicueta dakika ya 63, wakati ya Ajax yalifungwa na Tammy Abraham aliyejifunga dakika ya pili, Quincy Promes dakika ya 20, Kepa Arrizabalaga aliyejifunga baada ya kubabatizwa na mpira uliopigwa na Hakim Ziyech dakika ya 35 na Donny van de Beek dakika ya 55. Hata hivyo, refa Mtaliano Gianluca Rocchi alikataa bao la The Blues lililofungwa na Cesar Azpilicueta baadaye PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal do NOT look like champions in waiting: Why Declan Rice is a concern
for Mikel Arteta and the biggest issue the Gunners boss must solve if they
are to beat Man City to the title, writes CRAIG HOPE
-
CRAIG HOPE: The good news for Mikel Arteta is that there are only four
league games to play, not 14. It is a small enough number to negotiate
through grit,...
3 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment