Nahodha wa Barcelona, Lionel Messi akiwa haamini macho yake baada ya kukosa bao la wazi timu yake ikilazimishwa sare ya 0-0 na Slavia Praha katika mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou, hiyo ikiwa ni sare ya kwanza nyumbani tangu Februari 2018 ambayo inazidi kumuweka katika wakati mgumu kocha Ernesto Valverde PICHA ZAIDI GONGA HAPA
O'Sullivan-Higgins match set for thrilling finish
-
The World Championship last-16 tie between Ronnie O'Sullivan and John
Higgins is set for a dramatic end after the Scot closed the deficit to two
frames.
4 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment