Nahodha wa Barcelona, Lionel Messi akiwa haamini macho yake baada ya kukosa bao la wazi timu yake ikilazimishwa sare ya 0-0 na Slavia Praha katika mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou, hiyo ikiwa ni sare ya kwanza nyumbani tangu Februari 2018 ambayo inazidi kumuweka katika wakati mgumu kocha Ernesto Valverde PICHA ZAIDI GONGA HAPA
PSG sign World Cup final match-winner Torres from Barcelona
-
Ferran Torres, who scored the winning goal for Spain at the World Cup, has
joined European champions Paris St-Germain from Barcelona.
45 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment