Nahodha wa Barcelona, Lionel Messi akiwa haamini macho yake baada ya kukosa bao la wazi timu yake ikilazimishwa sare ya 0-0 na Slavia Praha katika mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou, hiyo ikiwa ni sare ya kwanza nyumbani tangu Februari 2018 ambayo inazidi kumuweka katika wakati mgumu kocha Ernesto Valverde PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Warriors' Draymond Green: 'Appreciate My Dawgs' Defeating Magic After
Ejection
-
Draymond Green was happy to see the Golden State Warriors get a much-needed
win over the Orlando Magic on Wednesday night in a game that he was ejected
from…
5 minutes ago
0 comments:
Post a Comment