Nahodha wa Barcelona, Lionel Messi akiwa haamini macho yake baada ya kukosa bao la wazi timu yake ikilazimishwa sare ya 0-0 na Slavia Praha katika mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou, hiyo ikiwa ni sare ya kwanza nyumbani tangu Februari 2018 ambayo inazidi kumuweka katika wakati mgumu kocha Ernesto Valverde PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Basketball fans toast 'best idea ever' as NBA makes plans for historic
98-year-old court from classic film
-
One of the most important and historic buildings in basketball history will
be getting the NBA Cup treatment this season.
36 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment