Kipa Hugo Lloris wa Tottenham Hotspur akijaribu bila mafanikio kuokoa mpira uliopigwa na Donny van de Beek kuipatia bao pekee la ushindi Ajax dakika ya 15 ikiwalaza wenyeji 1-0 katika mchezo wa kwanza wa Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Tottenham Hotspur mjini London. Timu hizo zitarudiana Mei 8 na mshindi wa jumla atakuwa atakutana na mshindi wa jumla baina ya Barcelona na Liverpool kwenye fainali Juni 1 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: The heartbreaking letter Rohan Dennis wrote to late wife Melissa
Hoskins before he was sentenced over his role in her death
-
Rohan Dennis wrote a heartbreaking farewell to his late wife Melissa
Hoskins, which has now been revealed after he avoided prison for his role
in the car a...
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment