Kipa Hugo Lloris wa Tottenham Hotspur akijaribu bila mafanikio kuokoa mpira uliopigwa na Donny van de Beek kuipatia bao pekee la ushindi Ajax dakika ya 15 ikiwalaza wenyeji 1-0 katika mchezo wa kwanza wa Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Tottenham Hotspur mjini London. Timu hizo zitarudiana Mei 8 na mshindi wa jumla atakuwa atakutana na mshindi wa jumla baina ya Barcelona na Liverpool kwenye fainali Juni 1 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Video: LeBron James, Anthony Davis React to Lakers Facing Elimination vs.
Nuggets
-
The Los Angeles Lakers, yet again, have fallen into an 0-3 playoff deficit
against the Denver Nuggets, this time in the first round of the NBA
playoffs. A…
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment