Mshambuliaji chipukizi wa kimataifa wa Tanzania, Shaaban Iddi Chilunda (kushoto) akikabidhiwa jezi ya klabu yake mpya, CD Tenerife ya Daraja la Kwanza Hispania kufuatia kukamilisha uhamisho wake wa mkopo wa miaka miwili kutoka Azam FC ya nyumbani. Dar es Salaam.
Shaaban Iddi Chilunda amepwa jezi namba 18/19
Shaaban Iddi Chilunda hapa akiwa amesimama pembemi ya sanamu
Shaaban Iddi Chilunda akifurahia wakati akizungumza na Waandishi wa Habari
Travis Kelce agrees to new TWO-YEAR extension with the Kansas City Chiefs
and becomes NFL's top-paid tight end ahead of team's historic bid for a
third straight Super Bowl win!
-
Travis Kelce and the Kansas City Chiefs have reached an agreement on a new
two-year extension. NFL Network's Ian Rapoport first reported the news.
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment