Nahodha wa Manchester United leo, Paul Pogba akiifungia kwa penalti bao la kwanza Manchester United dakika ya tatu baada ya Daniel Amartey wa Leicester City kuunawa mpira kwenye boksi. United imeanza vyema Ligi kwa ushindi wa 2-1, bao la pili likifungwa na Luke Shaw dakika ya 83, kabla Jamie Vardy kuifungia la kufutia machozi Leicester dakika ya 90 ushei Uwanja wa Old Trafford leo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jen Psaki Blasts JD Vance as a ‘Loser, Loser, Loser’ After Poor Attendance
at Turning Point Event and Failure in Hungary | Video
-
Jen Psaki didn't hold back when commenting on JD Vance's recent appearance
at a Turning Point USA event and his failure campaigning for Viktor Orbán
in Hun...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment