Nahodha wa Manchester United leo, Paul Pogba akiifungia kwa penalti bao la kwanza Manchester United dakika ya tatu baada ya Daniel Amartey wa Leicester City kuunawa mpira kwenye boksi. United imeanza vyema Ligi kwa ushindi wa 2-1, bao la pili likifungwa na Luke Shaw dakika ya 83, kabla Jamie Vardy kuifungia la kufutia machozi Leicester dakika ya 90 ushei Uwanja wa Old Trafford leo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Examining Bucks' Salary Cap, Decisions for 2024 NBA Free Agency After
Playoff Loss
-
It was a strange season for the Milwaukee Bucks, which ended with a
first-round playoff exit against the Indiana Pacers. In January, general
manager Jon Ho...
56 minutes ago
0 comments:
Post a Comment