Mashabiki wa Simba wakiwa wenye huzuni baada ya mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya Stand United Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam uliomalizika kwa sare ya 3-3 jioni ya leo
Jamaa wa kushoto alishindwa kujizuia na kujikuta anabubujikwa na machozi
Wenzake walijitahidi na kuishia kununa tu, lakini hawakudondosha tone la chozi
Shabiki huyu alikuwa akitoa maneno makali kwa wachezaji wa Simba kwa kuruhusu Stand kupata sare
Sura za mashabiki hawa wa Simba baada ya dakika 45 za kipindi cha kwanza, timu hizo zikiwa zimefungana 2-2
Max Verstappen says Adrian Newey's shock departure will NOT impact his
future at Red Bull for 'the moment'
-
The reigning world champion addressed speculation he's reconsidering his
future at the team ahead of the Miami Grand Prix Thursday after news broke
of Newe...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment