Kiungo aliyekuwa majeruhi kwa muda mrefu, Mzimbabwe Thabani Kamusoko akitafuta maarifa ya kuchukua mpira kwa Ibrahim Ajib (kushoto) wakati wa mazoezi ya Yanga SC leo jioni Uwanja wa Gymkhana, Dar es Salaam kujiandaa na mchezo wa kwanza Raundi ya Kwanza Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Township Rollers ya Botswana kesho Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam
Kiungo Mkongo, Papy Kabamba Tshishimbi akiudhibiti mpira mbele ya Nahodha na beki Mzanzibari, Nadir Haroub 'Cannavaro'
Juma Mahadhi (katikati) aliyekuwa mgonjwa pia naye amefanya mazoezi kikamilifu leo
Kushoto ni beki tegemeo, Kevin Yondan akiwa mazoezini na wenzake
Beki Abdallah Hajji 'Ninja' (wa tatu kulia) aliyekuwa majeruhi pia, naye amefanya mazoezi leo
Kipa Mcameroon Youthe Rostand amefanya mazoezi pia kuelekea mchezo wa kesho
Sean Dyche admits Everton recruitment plans are on hold amid takeover
uncertainty... but dismisses fears of a fire-sale with Jordan Pickford
among the stars linked away
-
Everton owner Farhad Moshiri is waiting for Premier League approval before
he can sell to US-based investment group 777 partners with doubts over
their abi...
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment