Kiungo aliyekuwa majeruhi kwa muda mrefu, Mzimbabwe Thabani Kamusoko akitafuta maarifa ya kuchukua mpira kwa Ibrahim Ajib (kushoto) wakati wa mazoezi ya Yanga SC leo jioni Uwanja wa Gymkhana, Dar es Salaam kujiandaa na mchezo wa kwanza Raundi ya Kwanza Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Township Rollers ya Botswana kesho Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam
Kiungo Mkongo, Papy Kabamba Tshishimbi akiudhibiti mpira mbele ya Nahodha na beki Mzanzibari, Nadir Haroub 'Cannavaro'
Juma Mahadhi (katikati) aliyekuwa mgonjwa pia naye amefanya mazoezi kikamilifu leo
Kushoto ni beki tegemeo, Kevin Yondan akiwa mazoezini na wenzake
Beki Abdallah Hajji 'Ninja' (wa tatu kulia) aliyekuwa majeruhi pia, naye amefanya mazoezi leo
Kipa Mcameroon Youthe Rostand amefanya mazoezi pia kuelekea mchezo wa kesho
Anioma monarchs, stakeholders endorse Nwoko for second term, backs South
East alignment
-
From Godwin Tsa, Abuja Izu Anioma, the umbrella body of all Anioma people
in Delta North, has endorsed Senator Ned Nwoko for a second term, citing
his le...
1 hour ago


.png)
0 comments:
Post a Comment