Mshambuliaji Michy Batshuayi anayecheza kwa mkoppo kutoka Chelsea akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Borussia Dortmund dakika za 77 na 90 na ushei ikiichapa 3-2 Frankfurt Uwanja wa Signal-Iduna-Park mjini Dortmund Uwanja wa Signal-Iduna Park mjni Dortmund katika mchezo wa Bundesliga. Bao la lingine la Borussia Dortmund limefungwa na Marco Russ aliyejifunga dakika ya 11, wakati mabao ya Frankfurt yamefungwa na na Danny Blum dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lloyd Perrett: Footy star who suffered life-threatening seizure at training
will sue club after his mate died of heatstroke during session with the
same team
-
Lloyd Perrett claims he was never the same player after suffering the
terrifying medical episode in 2017, which he says left him 'literally on my
death bed...
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment