Mshambuliaji Michy Batshuayi anayecheza kwa mkoppo kutoka Chelsea akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Borussia Dortmund dakika za 77 na 90 na ushei ikiichapa 3-2 Frankfurt Uwanja wa Signal-Iduna-Park mjini Dortmund Uwanja wa Signal-Iduna Park mjni Dortmund katika mchezo wa Bundesliga. Bao la lingine la Borussia Dortmund limefungwa na Marco Russ aliyejifunga dakika ya 11, wakati mabao ya Frankfurt yamefungwa na na Danny Blum dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Premier League reveal latest TV fixtures with new dates for Liverpool's
clash with Man City and Arsenal vs Chelsea - as Man United are handed
ANOTHER Monday night
-
The Premier League have confirmed the next run of fixtures set to be
televised at the start of 2026, with changes planned for high-profile
clashes featurin...
35 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment