Lionel Messi wa Barcelona akikimbia na mpira kwa mahesabu dhidi ya beki wa Las Palmas, Alejandro Galvez katika mchezo wa La Liga jana Uwanja wa Gran Canaria usiku wa jana. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1, Barca wakitangulia kwa bao la Messi dakika ya 21, kabla ya Las Palmas kusawazisha kupitia kwa Jonathan Calleri kwa penalti baada ya Lucas Digne kuushika mpira kwenye boksi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Joey Barton bafflingly claims 'genetically modified' Lionel Messi should
have ASTERISK next to his titanic achievements due to the treatment the
World Cup winner received as child for rare growth hormone deficiency
-
Joey Barton has launched his latest tirade in the direction of Lionel Messi
, by claiming that there should be an asterisk to his name due to the
medical t...
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment