Kiungo Mjerumani, Mesut Ozil akiwa na kocha wake, Mfaransa Arsene Wenger wakati anasaini mkataba mpya wa kuendelea kuichezea Arsenal kwa miaka mitatu na nusu zaidi wiki hii, ambao utamfanya awe analipwa mshahara wa Pauni 300,000, ambao ni Pauni 120,000 zaidi ya anaolipwa mshambuliaji mpya, Pierre-Emerick Aubameyang kutoka Borussia Dortmund PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ghana’s Black Stars begin camping in Accra today March 17 ahead of Chad,
Madagascar games
-
The Black Stars will open camp in Accra on Monday, March 17, 2025, ahead of
the 2026 World Cup qualifying games against Chad and Madagascar.The team
will h...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment