Kiungo Mjerumani, Mesut Ozil akiwa na kocha wake, Mfaransa Arsene Wenger wakati anasaini mkataba mpya wa kuendelea kuichezea Arsenal kwa miaka mitatu na nusu zaidi wiki hii, ambao utamfanya awe analipwa mshahara wa Pauni 300,000, ambao ni Pauni 120,000 zaidi ya anaolipwa mshambuliaji mpya, Pierre-Emerick Aubameyang kutoka Borussia Dortmund PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Clippers' Paul George mocks PJ Washington as he recreates the Mavs star's
pose from Game 3 after hitting a shot over him... before LA nearly blows a
31-point lead in dramatic win over Dallas
-
Paul George mockingly recreated PJ Washington's arms-crossed pose from the
other night on Sunday as the Clippers evened the series vs. the Mavs.
40 minutes ago
0 comments:
Post a Comment