Kiungo Mjerumani, Mesut Ozil akiwa na kocha wake, Mfaransa Arsene Wenger wakati anasaini mkataba mpya wa kuendelea kuichezea Arsenal kwa miaka mitatu na nusu zaidi wiki hii, ambao utamfanya awe analipwa mshahara wa Pauni 300,000, ambao ni Pauni 120,000 zaidi ya anaolipwa mshambuliaji mpya, Pierre-Emerick Aubameyang kutoka Borussia Dortmund PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bristol go fourth with big win at Newcastle
-
Bristol Bears run in eight tries to move back into The Prem's top four with
a 52-19 win at Newcastle Red Bulls.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment