Luis Suarez akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao pekee la ushindi dakika ya 67 ikiwapiga 1-0 Valencia katika Nusu Fainali ya kwanza ya Kombe la Mfalme, Copa del Rey usiku wa jana Uwanja wa Nou Camp. Barca itatakiwa kwenda kuulinda ushindi huo mwembamba kwenye mechi ya marudiano Februari 8, mwaka huu PICHA GONGA HAPA
Wait goes on as Salah bids to break Premier League records
-
Mohamed Salah's wait goes on in his bid to beat the Premier League's goal
involvement and assist records - but he has one more chance this season.
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment