Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza timu yake dakika ya 35 katika sare ya 2-2 na wenyeji, Juventus kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Allianz mjini Torino. Bao lingine la la Spurs lilifungwa na Christian Eriksen dakika ya 71, baada ya Juventus kutangulia kwa mabao ya Gonzalo Higuain dakika ya pili na ya tisa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Poehling scores early in OT, Ducks push Oilers to the brink
-
Ryan Poehling scored 2:29 into overtime, and Anaheim rallied to take a 3-1
series lead on Connor McDavid and Edmonton.
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment