Ilkay Gundogan akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Manchester City dakika za 14 na 53 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya wenyeji, FC Basle kwenye mchezo wa kwanza wa hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa St. Jakob-Park, Basel. Mabao mengine ya City yalifungwa na Bernardo Silva dakika ya 18 na Sergio Aguero dakika ya 23 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
A couple spent $186,500 to live on a sailboat in the Florida Keys — 11
years later, they pay just $1,200 a month
-
Amy Morin and her husband, Steve, packed up their New England home to move
onto a 53-foot sailboat in the Florida Keys. Here’s why they took the leap.
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment