• HABARI MPYA

    Wednesday, February 14, 2018

    GUNDOGAN APIGA MBILI MAN CITY YASHINDA 4-0 UGENINI LIGI YA MABINGWA

    Ilkay Gundogan akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Manchester City dakika za 14 na 53 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya wenyeji, FC Basle kwenye mchezo wa kwanza wa hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa St. Jakob-Park, Basel. Mabao mengine ya City yalifungwa na Bernardo Silva dakika ya 18 na Sergio Aguero dakika ya 23 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: GUNDOGAN APIGA MBILI MAN CITY YASHINDA 4-0 UGENINI LIGI YA MABINGWA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top