Ilkay Gundogan akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Manchester City dakika za 14 na 53 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya wenyeji, FC Basle kwenye mchezo wa kwanza wa hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa St. Jakob-Park, Basel. Mabao mengine ya City yalifungwa na Bernardo Silva dakika ya 18 na Sergio Aguero dakika ya 23 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Verstappen beats Leclerc to Miami sprint pole
-
Red Bull’s Max Verstappen beat Ferrari’s Charles Leclerc to take pole
position for the sprint race at the Miami Grand Prix.
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment