Washambuliaji wa Manchester United, Romelu Lukaku (kushoto) na Alexis Sanchez (kulia) wakishangilia baada ya wote kufunga katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Huddersfield Town kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Old Trafford. Lukaku alifunga bao la kwanza dakika ya 55 akimalizia pasi ya Juan Mata wakati Sanchez alifunga la pili dakika ya 68 akiuwahi mpira uliookolewa na kipa Jonas Lossl baada ya shuti lake la penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea caretaker Calum McFarlane bristles at suggestion he is
underqualified without a Pro Licence - and reveals he has not spoken to
Liam Rosenior about which players let him down in the Brighton debacle
-
OLIVER HOLT: There is a belief among some of the mind gurus and statistics
experts at Chelsea that there is little correlation between the identity of
a cl...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment