Washambuliaji wa Manchester United, Romelu Lukaku (kushoto) na Alexis Sanchez (kulia) wakishangilia baada ya wote kufunga katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Huddersfield Town kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Old Trafford. Lukaku alifunga bao la kwanza dakika ya 55 akimalizia pasi ya Juan Mata wakati Sanchez alifunga la pili dakika ya 68 akiuwahi mpira uliookolewa na kipa Jonas Lossl baada ya shuti lake la penalti PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Rumors: Terrell Owens' Son Terique, 49ers Agree to UDFA Contract After
2024 Draft
-
The San Francisco 49ers added Missouri State wide receiver Terique Owens,
the son of Hall of Fame receiver Terrell Owens, as an undrafted free agent
on…
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment