Pierre-Emerick Aubameyang akishangilia baada ya kufunga bao la nne dakika ya 37 na la kwanza kwake baada ya kujiunga na Arsenal wiki hii akitokea Borussia Dortmund kwa Pauni Milioni 56 za rekodi katika ushindi wa 5-1 dhidi ya Everton Uwanja wa Emirates. Mabao mengine ya Arsenal yamefungwa na Aaron Ramsey matatu dakika za sita,19 na 74 na Laurent Koscielny dakika ya 37, wakati la Everton limefungwa na Dominic Calvert-Lewin dakika ya 64 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Footy star makes heartbreaking confession about her baby son after doing
the unthinkable when she found out she was pregnant: 'I'm not sure I want
him'
-
Brisbane Broncos star Shannon Mato has turned her life around after
learning she was expecting in early 2025.
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment