Pierre-Emerick Aubameyang akishangilia baada ya kufunga bao la nne dakika ya 37 na la kwanza kwake baada ya kujiunga na Arsenal wiki hii akitokea Borussia Dortmund kwa Pauni Milioni 56 za rekodi katika ushindi wa 5-1 dhidi ya Everton Uwanja wa Emirates. Mabao mengine ya Arsenal yamefungwa na Aaron Ramsey matatu dakika za sita,19 na 74 na Laurent Koscielny dakika ya 37, wakati la Everton limefungwa na Dominic Calvert-Lewin dakika ya 64 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Controversy at AFCON as referee is sent to his monitor... but cannot award
penalty as VAR farcically stops working!
-
Benin were left frustrated by their 1-0 defeat to the Democratic Republic
of Congo on Saturday after a late handball in the penalty area could not be
revie...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment