Pierre-Emerick Aubameyang akishangilia baada ya kufunga bao la nne dakika ya 37 na la kwanza kwake baada ya kujiunga na Arsenal wiki hii akitokea Borussia Dortmund kwa Pauni Milioni 56 za rekodi katika ushindi wa 5-1 dhidi ya Everton Uwanja wa Emirates. Mabao mengine ya Arsenal yamefungwa na Aaron Ramsey matatu dakika za sita,19 na 74 na Laurent Koscielny dakika ya 37, wakati la Everton limefungwa na Dominic Calvert-Lewin dakika ya 64 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal star Ben White caught undoing the gloves of Spurs goalkeeper
Guglielmo Vicario just seconds before the Gunners go ahead in the north
London derby
-
Ben White has been caught undoing the gloves of Spurs goalkeeper Guglielmo
Vicario from the corner that put Arsenal ahead in the north London derby.
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment