Mkongwe Arjen Robben akipongezwa na wenzake baada ya kufunga mabao mawili dakika za 86 na 88 katika ushindi wa 6-0 dhidi ya Paderborn kwenye mchezo wa Robo Fainali Kombe la Ujerumani jana Uwanja wa Benteler-Arena mjini Paderborn. Mabao mengine ya timu ya kocha Jupp Heyckes yalifungwa na Kingsley Coman dakika ya 19, Robert Lewandowski dakika ya 25, Joshua Kimmich dakika ya 42 na Corentin Tolisso dakika ya 55 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tennis expert reveals what Iga Swiatek is REALLY like behind the scenes
after World No 2 enraged fans by smashing ball at a ball kid in shocking
moment
-
The Pole came under fire after she smashed a ball at a ball kid following
her devastating loss to Russian teenager Mirra Andreeva 7-6 1-6 6-3 to
reach the ...
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment