Mkongwe Arjen Robben akipongezwa na wenzake baada ya kufunga mabao mawili dakika za 86 na 88 katika ushindi wa 6-0 dhidi ya Paderborn kwenye mchezo wa Robo Fainali Kombe la Ujerumani jana Uwanja wa Benteler-Arena mjini Paderborn. Mabao mengine ya timu ya kocha Jupp Heyckes yalifungwa na Kingsley Coman dakika ya 19, Robert Lewandowski dakika ya 25, Joshua Kimmich dakika ya 42 na Corentin Tolisso dakika ya 55 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Legendary AFL coach Mick Malthouse, 72, was stabbed in the chest with a
screwdriver as he bravely bashed two home intruders in midnight attack,
court hears
-
A court has heard how a legendary AFL coach was stabbed in the chest with a
screwdriver as he defended his wife during an alleged attempted home
invasion.
57 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment