Mkongwe Arjen Robben akipongezwa na wenzake baada ya kufunga mabao mawili dakika za 86 na 88 katika ushindi wa 6-0 dhidi ya Paderborn kwenye mchezo wa Robo Fainali Kombe la Ujerumani jana Uwanja wa Benteler-Arena mjini Paderborn. Mabao mengine ya timu ya kocha Jupp Heyckes yalifungwa na Kingsley Coman dakika ya 19, Robert Lewandowski dakika ya 25, Joshua Kimmich dakika ya 42 na Corentin Tolisso dakika ya 55 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mikel Arteta reaches 100 Premier League wins
-
Delve into the numbers and stats behind our manager's latest achievement as
he hits a ton of league successes
50 minutes ago
0 comments:
Post a Comment