Mkongwe Arjen Robben akipongezwa na wenzake baada ya kufunga mabao mawili dakika za 86 na 88 katika ushindi wa 6-0 dhidi ya Paderborn kwenye mchezo wa Robo Fainali Kombe la Ujerumani jana Uwanja wa Benteler-Arena mjini Paderborn. Mabao mengine ya timu ya kocha Jupp Heyckes yalifungwa na Kingsley Coman dakika ya 19, Robert Lewandowski dakika ya 25, Joshua Kimmich dakika ya 42 na Corentin Tolisso dakika ya 55 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Draper to miss Australian Open with arm injury
-
British number one Jack Draper will not play in next month's Australian
Open because of an ongoing arm injury.
58 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment