Mshambuliaji wa Yanga, Mzambia Obrey Chirwa akisikitika baada ya kupoteza moja ya nafasi nzuri za kufunga kwenye mchezo wa kwanza wa Raundi ya Kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Saint Louis Suns United ya Shelisheli jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Chirwa hakuwa mwenye bahati jana Yanga ikipata ushindi mwembamba wa 1-0
Chirwa alikosa hadi penalti mapema kipindi cha kwanza
Hapa alikuwa anasikitika baada ya kupiga nje kipindi cha pili akiwa anatazama na lango
Kipa wa Saint Louis Suns United, Michael Ramandimius akiwa amedaka mbele ya Chirwa
Beki wa Saint Louis akiupitia mpira miguuni mwa Chirwa jana
Eddie Howe outlines challenge for his Newcastle players after Champions
League draw with Barcelona
-
Eddie Howe urged his Newcastle side to replicate the levels of their
performance against Barcelona on a more consistent basis.Newcastle led
through Harvey ...
26 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment