Wachezaji wa Barcelona wakielekea katikati ya Uwanja kinyonge kuanzisha tena mchezo baada ya kufungwa mabao 4-0 na wenyeji PSG usiku wa jana Uwanja wa Parc des Princes katika mchezo wa kwanza wa hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya. Mabao ya PSG yalifungwa na Angel Di Maria mawili dakika za 18 na 55, Julian Draxler dakika ya 40 na Edinson Cavani dakika ya 71 na sasa Barca watatakiwa kushinda 5-0 Camp Nou kwenye mchezo wa marudiano PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Arsenal left praying while Man City shine as end game nears'
-
Arsenal are left "praying" as Manchester City home in on a fourth
successive Premier League title, writes Simon Stone.
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment