Wachezaji wa Barcelona wakielekea katikati ya Uwanja kinyonge kuanzisha tena mchezo baada ya kufungwa mabao 4-0 na wenyeji PSG usiku wa jana Uwanja wa Parc des Princes katika mchezo wa kwanza wa hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya. Mabao ya PSG yalifungwa na Angel Di Maria mawili dakika za 18 na 55, Julian Draxler dakika ya 40 na Edinson Cavani dakika ya 71 na sasa Barca watatakiwa kushinda 5-0 Camp Nou kwenye mchezo wa marudiano PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Furious Channel Nine footy reporter Danny Weidler accuses NRL great Braith
Anasta of threatening to BASH him in remarks caught on video
-
Nine and Sydney Morning Herald journalist Danny Weidler has launched a
stunning broadside at former Bulldogs star turned Fox Sports TV host Braith
Anasta.
33 minutes ago
0 comments:
Post a Comment