Mshambuliaji wa Borussia Dortmund, Pierre-Emerick Aubameyang akijilaumu baada ya kukosa penalti iliyotolewa baada ya Ljubomir Fejsa kuunawa mpira kwenye boksi usiku wa jana kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya wakifungwa 1-0 na wenyeji, Benfica Uwanja wa Luz mjini Lisbon, Ureno bao pekee la Kosta Mitroglou dakika ya 48 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
WWE's real plans for Logan Paul and Patrick Mahomes on RAW
-
On Monday, Mahomes was introduced to the Kansas City faithful at T-Mobile
Center after having arrived at the venue with Paul just hours earlier. His
appear...
55 minutes ago
0 comments:
Post a Comment