Theo Walcott akienda hewani kushangilia baada ya kuifungia Arsenal mabao mawili dakika za 26 na 33 katika ushindi wa 3-2 dhidi ya Swansea City leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Emirates, London. Bao lingine la Arsenal iliyompoteza mchezaji wake, Granit Xhaka aliyetolewa kwa kadi nyekundu dakika ya70, lilifungwa na Mesut Ozil dakika ya 57 wakati ya Swansea yalifungwa na Gylfi Sigurdsson dakika ya 38 na Borja Baston dakika ya 66 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ty Lue Addresses Lakers HC Rumors, Wants to Remain with Clippers amid
Contract Buzz
-
Los Angeles Clippers head coach Tyronn Lue addressed the rumors about him
potentially being a candidate for the Los Angeles Lakers' vacancy. Speaking
to…
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment