Mshambuliaji wa Yanga, Obrey Chirwa akimruka beki wa JKT Ruvu, Nurdin Mohammed katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Yanga ilishinda 4-0
Nurdin Mohammed hapa akimdhibiti mshambuliaji mwingine wa Yanga, Donald Ngoma
Kiungo wa Yanga, Haruna Niyonzima akiwatoka wachezaji wa JKT Ruvu
Winga wa Yanga, Simon Msuva akimtoka beki wa JKT Ruvu, Salim Aziz Gilla
Mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe akiupigia hesabu mpira nyuma ya kiungo wa JKT Ruvu, Rahim Juma
Obrey Chirwa akienda chini baada ya kukwatuliwa na Kassim Kisengo wa JKT Ruvu
Beki Hassan Ramadhani Kessy akimtoka Pera Mavuo wa JKT Ruvu
Kiungo wa Yanga, Deus Kaseke akimpira beki wa JKT Ruvu, Salim Aziz Gilla
Kiungo wa Yanga, Thabani Kamusoko akipiga mpira pembeni ya mchezaji wa JKT Ruvu
Wachezaji wa Yanga wakishangilia ushindi wao jana pembeni ya refa
Premier League club summer 2022 friendly fixtures
-
The 2021/22 English Premier League season is now behind us and teams are
gearing up for the 2022/23 campaign. The new season is set to kick off on
6 Augus...
TBS YAKUTANA NA WAHARIRI DAR
-
Mkurugenzi wa Udhibiti Ubora wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Lazaro
Msasalaga ( wa pili kushoto) akizungumza wakati wa jukwaa la wahariri wa
vyom...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 maoni:
Chapisha Maoni