Mshambuliaji wa Simba SC, Abdallah Kibadeni (8) akimiliki mpira mbele ya wachezaji wenzake Julai 19, mwaka 1977 katika mchezo wa Klabu Bingwa ya Taifa Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru), Dar es Salaam. Simba ilishinda 6-0, Kibadeni akifunga mabao matatu dakika za 10, 42 na 89, wakati mengine yalifungwa na Jumanne Hassan 'Masimenti' dakika ya 60 na 73 na Selemani Sanga aliyejifunga dakika ya 20.
U17 will Einzug ins Halbfinale um die Deutsche Meisterschaft absichern
-
Während Borussias U17 Sonntag im Gastspiel bei Borussia Mönchengladbach (11
Uhr) auch die letzten theoretischen Zweifel am Einzug ins Halbfinale um die
Deu...
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment