Mshambuliaji wa Simba SC, Abdallah Kibadeni (8) akimiliki mpira mbele ya wachezaji wenzake Julai 19, mwaka 1977 katika mchezo wa Klabu Bingwa ya Taifa Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru), Dar es Salaam. Simba ilishinda 6-0, Kibadeni akifunga mabao matatu dakika za 10, 42 na 89, wakati mengine yalifungwa na Jumanne Hassan 'Masimenti' dakika ya 60 na 73 na Selemani Sanga aliyejifunga dakika ya 20.
Suarez: I didn't want to leave Atletico Madrid
-
Luis Suarez has revealed he did not want to leave Atletico Madrid this
summer and had no conversation with Diego Simeone about his exit. Atleti
announced l...
Dakika 15 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni