Daniel Sturridge akishangilia kwa staili yake maarufu baada ya kufunga mabao yote ya Liverpool katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Tottenham Hotspur kwenye mchezo wa 16 Bora ya Kombe la Ligi England usiku huu Uwanja wa Anfield. Bao la Spurs lilifungwa na Vincent Janssen kwa penalti zikiwa zimebaki dakika 14 baada ya Erik Lamela kuangushwa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
We’ll produce our own candidates, no alliances, says NRM
-
From Okwe Obi, Abuja Ahead of the 2027 polls, the National Rescue Movement
(NRM) has ruled out plans to form alliances with the All Progressives
Congress...
17 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment