Kiungo Mfaransa, Paul Pogba akiteleza uwanjani kushangilia baada ya kufunga mabao mawili Manchester United, moja kwa penalti katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Fenerbahce ya Uturuki kwenye mchezo wa Kundi A Europa League usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford. Mabao mengine ya Man United yalifungwa na Anthony Martial kwa penalti na Jesse Lingard, wakati la wageni lilifungwa na nyota wa zamani wa Mashetani hao Wekundu, Robin van Persie PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former Arsenal star is rushed to hospital after being unconscious for ten
minutes having been struck in the face with the ball during game
-
A former Arsenal player was rushed to hospital after the ball struck him in
the face during Molenbeek's 3-1 defeat to Charleroi.
9 minutes ago
0 comments:
Post a Comment