Kiungo Mfaransa, Paul Pogba akiteleza uwanjani kushangilia baada ya kufunga mabao mawili Manchester United, moja kwa penalti katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Fenerbahce ya Uturuki kwenye mchezo wa Kundi A Europa League usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford. Mabao mengine ya Man United yalifungwa na Anthony Martial kwa penalti na Jesse Lingard, wakati la wageni lilifungwa na nyota wa zamani wa Mashetani hao Wekundu, Robin van Persie PICHA ZAIDI GONGA HAPA
A spat over a creaky floorboard, 'The Crafty Cockney' losing £50k and Phil
Taylor telling Raymond van Barneveld to 'f*** off' during infamous
handshake... darts' pettiest and most entertaining rivalries
-
To the uninitiated, it's just overweight men throwing sharp objects - but
there's a gladiatorial nature to darts and there have been some glorious
(and pet...
23 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment