Romelu Lukaku akiifungia bao la kuongoza Everton dakika ya 64 katika sare ya 1-1 na wenyeji, Manchester City Uwanja wa Etihad leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao la kusawazisha la Man City lilifungwa na Nolito dakika ya 72 akimalizia pasi ya David Silva. Katika mchezo huo, Martin Stekelenburg aliokoa penalti mbili za Man City, kwanza ya Kevin De Bruyne dakika ya 43 baada ya David Silva kuangushwa na Phil Jagielka kwenye boksi na baadaye ya Sergio Aguero dakika ya 70 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Anioma monarchs, stakeholders endorse Nwoko for second term, backs South
East alignment
-
From Godwin Tsa, Abuja Izu Anioma, the umbrella body of all Anioma people
in Delta North, has endorsed Senator Ned Nwoko for a second term, citing
his le...
3 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment