Romelu Lukaku akiifungia bao la kuongoza Everton dakika ya 64 katika sare ya 1-1 na wenyeji, Manchester City Uwanja wa Etihad leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao la kusawazisha la Man City lilifungwa na Nolito dakika ya 72 akimalizia pasi ya David Silva. Katika mchezo huo, Martin Stekelenburg aliokoa penalti mbili za Man City, kwanza ya Kevin De Bruyne dakika ya 43 baada ya David Silva kuangushwa na Phil Jagielka kwenye boksi na baadaye ya Sergio Aguero dakika ya 70 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Rumors: Kirk Cousins' $50M Falcons Contract Doesn't Have Out for
Achilles Injury
-
Quarterback Kirk Cousins' $50 million signing bonus with the Atlanta
Falcons required him to pass a physical, but his contract "specifically
excludes" the…
4 minutes ago
0 comments:
Post a Comment