Kikosi kilichorejesha heshima Simba SC mwaka 1991 baada ya timu kuyumba mwishoni mwa miaka ya 1980 kiasi cha kukaribia kushuka Daraja. Kikosi hiki kilitwaa ubingwa wa Afrika Mashariki na Kati 1991 Dar es Salaam na huo ukawa mwanzo wa kupata Simba imara iliyotamba mwanzoni mwa miaka ya 1990 ikiwa ni pamoja na kufika fainali ya Kombe la CAF 1993 na kutwaa mataji mfululizo ya Afrika Mashariki na Kati.
Black Stars: Ghana FA should announce the new head coach soon- Alhaji GrunsahÂ
-
Veteran Ghanaian football administrator Alhaji Karim Grunsah has urged the
Ghana FA to announce a coach for the Black Stars ahead of the upcoming
Africa Cu...
Dakika 25 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni