Kikosi kilichorejesha heshima Simba SC mwaka 1991 baada ya timu kuyumba mwishoni mwa miaka ya 1980 kiasi cha kukaribia kushuka Daraja. Kikosi hiki kilitwaa ubingwa wa Afrika Mashariki na Kati 1991 Dar es Salaam na huo ukawa mwanzo wa kupata Simba imara iliyotamba mwanzoni mwa miaka ya 1990 ikiwa ni pamoja na kufika fainali ya Kombe la CAF 1993 na kutwaa mataji mfululizo ya Afrika Mashariki na Kati.
Former Football Focus host hammers BBC's 'crazy' decision to axe
long-running show at end of the season
-
The BBC's decision to axe Football Focus is 'crazy', according to a former
presenter of the long-running show, who was in the hotseat for 20 years.
24 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment