Kikosi kilichorejesha heshima Simba SC mwaka 1991 baada ya timu kuyumba mwishoni mwa miaka ya 1980 kiasi cha kukaribia kushuka Daraja. Kikosi hiki kilitwaa ubingwa wa Afrika Mashariki na Kati 1991 Dar es Salaam na huo ukawa mwanzo wa kupata Simba imara iliyotamba mwanzoni mwa miaka ya 1990 ikiwa ni pamoja na kufika fainali ya Kombe la CAF 1993 na kutwaa mataji mfululizo ya Afrika Mashariki na Kati.
Revealed: Thomas Tuchel's spine-tingling 'Mount Everest' speech and
presentation to England players is released for the first time - with a
huge indicator over why he snubbed Palmer, Foden and Co
-
The FA have released footage of Thomas Tuchel's maiden speech as England
boss as the FIFA World Cup edges closer.
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment