Arjen Robben akiondoka na mpira baada ya kuifungia Bayern Munich bao la nne katika ushindi wa 4-0 dhidi ya PSV Eindhoven kwenye mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa Jumatano Uwanja wa Allianz Arena. Mabao mengine ya Bayern yalifungwa na Thomas Muller, Joshua Kimmich na Robert Lewandowski wakati la PSV lilifungwa na Luciano Narsingh PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Verstappen wishes F1 was 'more fun' but hopeful of change
-
Max Verstappen says he wishes F1 was "more fun" but is hopeful the sport is
heading towards changes that will "improve everything".
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment