Arjen Robben akiondoka na mpira baada ya kuifungia Bayern Munich bao la nne katika ushindi wa 4-0 dhidi ya PSV Eindhoven kwenye mchezo wa Kundi D Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa Jumatano Uwanja wa Allianz Arena. Mabao mengine ya Bayern yalifungwa na Thomas Muller, Joshua Kimmich na Robert Lewandowski wakati la PSV lilifungwa na Luciano Narsingh PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL quarterback who went AWOL over contract talks makes a huge decision
amid ongoing standoff
-
After avoiding his return to the team due to a contract dispute, Arizona
Cardinals quarterback Jacoby Brissett will finally show up at his team's
mandatory...
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment