• HABARI MPYA

    Saturday, October 22, 2016

    ARSENAL YANG'ANG'ANIWA EMIRATES, SARE 0-0 NA BORO

    Mshambuliaji wa Arsenal, Alexis Sanchez akisikitika kwa hasira baada ya kupoteza nafasi ya kufunga katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo wakilazimishwa sare ya 0-0 na Middlesbrough Uwanja wa Emirates, London PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: ARSENAL YANG'ANG'ANIWA EMIRATES, SARE 0-0 NA BORO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top