Mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe (kulia) akimpa pasi ya kichwa mchezaji mwenzake, Simon Msuva (kushoto) mbele ya beki Mghana wa Mbao FC, Asante Kwesi katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Yanga ilishinda 3-0
Amissi Tambwe akimzunguka Asante Kwesi jana Uwanja wa Uhuru
Beki wa Mbao FC, Steve Mganya (kushoto) akimdhibiti winga wa Yanga, Simon Msuva
Kiungo wa Yanga, Mbuyu Twite akimiliki mpira mbele ya mchezaji wa Mbao FC
Beki wa Yanga, Mwinyi Hajji Mngwali akiwatoka wachezaji wa Mbao
Kocha wa Yanga, Hans van der Pluijm akiwa kazini jana
Simon Msuva wa Yanga akiwania mpira dhidi ya kipa wa Mbao, Emmanuel Mseja na beki Steve Kigocha (kushoto)
Amissi Tambwe akimiliki mpira mbele ya beki wa Mbao FC
Sky überträgt | Sanchos Leipzig-Serie
-
Am Samstag tritt Borussia Dortmund bei Rasenballsport Leipzig an. Anstoß
ist um 15:30 Uhr. Alle Infos zu unserem Bundesliga-Auswärtsspiel haben wir
kompakt...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment