Sergio Aguero akiteleza kibabe kushangilia bao lake 149 kwenye mashindano yote Manchester City jioni ya leo katika ushindi wa 4-0 dhidi ya wenyeji West Bromwich Albion Uwanja wa The Hawthorns kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Aguero alifunga mawili na mawili mengine yakifungwa na Ilkay Gundogan PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Under-fire Spurs interim boss Igor Tudor makes honest admission about
Champions League tie against Atletico Madrid amid Premier League survival
battle
-
MATT BARLOW IN MADRID: There's a quirk of cruelty about sending Tottenham
back to the Metropolitano for the first time right now, rekindling glories
of the...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment