Mshambuliaji wa kimataifa wa Nigeria, Kelechi Iheanacho akiifungia Manchester City bao la kusawazisha dakika ya 55 katika sare ya 1-1 na Southampton kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Etihad. Bao la Southampton lilifungwa na Nathan Redmond dakika ya 27 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cheeky cat tries to steal anglers' catch in Istanbul
-
A cheeky cat tried to swipe an angler's catch from a plastic bottle in
Maltepe, Istanbul, in early July. But the little thief's plan backfired
completely.
48 seconds ago



.png)
0 comments:
Post a Comment