Rafinha akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia Barcelona mabao mawili dakika za 21 na 36 katika ushindi wa 4-0 kwenye mchezo wa La Liga dhidi ya Deportivo La Coruna leo Uwanja wa Camp Nou. Mabao mengine ya Barca yamefungwa na Luis Suarez dakika ya 43 na Lionel Messi dakika ya 58 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Anioma monarchs, stakeholders endorse Nwoko for second term, backs South
East alignment
-
From Godwin Tsa, Abuja Izu Anioma, the umbrella body of all Anioma people
in Delta North, has endorsed Senator Ned Nwoko for a second term, citing
his le...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment