Rafinha akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia Barcelona mabao mawili dakika za 21 na 36 katika ushindi wa 4-0 kwenye mchezo wa La Liga dhidi ya Deportivo La Coruna leo Uwanja wa Camp Nou. Mabao mengine ya Barca yamefungwa na Luis Suarez dakika ya 43 na Lionel Messi dakika ya 58 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jets Rumors: Aaron Rodgers, Tyrod Taylor Told Jordan Travis They're
'Excited' for QB
-
New York Jets quarterbacks Aaron Rodgers and Tyrod Taylor reached out to
Jordan Travis directly to offer words of encouragement, according to ESPN's
Jeremy…
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment