Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akishangilia kwa hisia kali mbele ya mashabiki wa Valencia baada ya kufunga bao la tatu kwa penalti ya sekunde ya mwisho katika ushindi wa 3-2 dhidi ya wenyeji wao hao Uwanja wa Mestalla. Messi ndiye aliyefunga bao la kwanza, ingawa Luis Suarez alionekana kuwa amezidi na bao lingine la Barca lilifungwa na Suarez huku ya Valencia yakifungwa na Munir na Rodrigo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
🔥 On a par with Kane: Bundesliga striker posts incredible stats
-
Harry Kane (37), Michael Olise (29), and Luis Díaz (29) are dominating the
Bundesliga in terms of scorer points at will. However, currently, one
player is ...
48 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment