Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akishangilia kwa hisia kali mbele ya mashabiki wa Valencia baada ya kufunga bao la tatu kwa penalti ya sekunde ya mwisho katika ushindi wa 3-2 dhidi ya wenyeji wao hao Uwanja wa Mestalla. Messi ndiye aliyefunga bao la kwanza, ingawa Luis Suarez alionekana kuwa amezidi na bao lingine la Barca lilifungwa na Suarez huku ya Valencia yakifungwa na Munir na Rodrigo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Aussie football in mourning as Rale Rasic dies after coaching Socceroos to their first World Cup
-
Rale Rasic, the man who famously coached the Socceroos to their first World
Cup in 1974, has died. He was inducted into the Sport Australia Hall of
Fame in...
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment