Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akishangilia kwa hisia kali mbele ya mashabiki wa Valencia baada ya kufunga bao la tatu kwa penalti ya sekunde ya mwisho katika ushindi wa 3-2 dhidi ya wenyeji wao hao Uwanja wa Mestalla. Messi ndiye aliyefunga bao la kwanza, ingawa Luis Suarez alionekana kuwa amezidi na bao lingine la Barca lilifungwa na Suarez huku ya Valencia yakifungwa na Munir na Rodrigo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
U20 Women's World Cup: African Origin Travels and Sports Tourism appointed Ghana's official travel and hospitality agency
-
African Origin Travels and Sports Tourism have been appointed Ghana's
official Travel and Hospitality Agency for the 2022 FIFA U20 Women's World
Cup to be ...
Dakika 31 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni