Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akishangilia kwa hisia kali mbele ya mashabiki wa Valencia baada ya kufunga bao la tatu kwa penalti ya sekunde ya mwisho katika ushindi wa 3-2 dhidi ya wenyeji wao hao Uwanja wa Mestalla. Messi ndiye aliyefunga bao la kwanza, ingawa Luis Suarez alionekana kuwa amezidi na bao lingine la Barca lilifungwa na Suarez huku ya Valencia yakifungwa na Munir na Rodrigo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Newcastle's Sandro Tonali who was banned for 10 months for betting offences
while playing in Italy has now been charged by FA with 50 offences of
placing bets earlier this season
-
It comes after the Newcastle player was handed a 10-month ban from
competitive football for breaching betting rules in Italy in October.
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment