Meneja wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Azim Dewji akiwa na kiungo wa Yanga, Athumani Abdallah China mwaka 1992 Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Dar es Salaam (DIA), sasa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), kabla ya safari ya timu hiyo. Dewji pia alikuwa mfadhili wa Simba SC, timu ambayo China alijiunga nayo baadaye mwaka 1994.
Donald Trump weighs in on Bryson DeChambeau controversy at The Open...
after American star threatened to call the President during meltdown
-
Trump addressed the drama that unfolded at Royal Birkdale, where DeChambeau
was docked two strokes during his second round for improving his lie on the
fif...
14 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment