Roberto Firmino (kulia) akishangilia na Philippe Coutinho na Sadio Mane baada ya kuifungia Liverpool bao la nne katika ushindi wa 4-2 dhidi ya wenyeji Crystal Palace kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Selhurst Park, London. Mabao mengine ya Liverpool yalifungwa na Emre Can, Dejan Lovren na Joel Matip wakati ya Palace yalifungwa na James McArthur yote PICHA AZAIDI GONGA HAPA
Mauricio Pochettino admits winning just the Ligue 1 title is not enough for PSG
-
PSG dominated the French league from start to finish and are presently 25
points clear of second-placed Monaco with one round of the season remaining.
Dakika 44 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni