Roberto Firmino (kulia) akishangilia na Philippe Coutinho na Sadio Mane baada ya kuifungia Liverpool bao la nne katika ushindi wa 4-2 dhidi ya wenyeji Crystal Palace kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Selhurst Park, London. Mabao mengine ya Liverpool yalifungwa na Emre Can, Dejan Lovren na Joel Matip wakati ya Palace yalifungwa na James McArthur yote PICHA AZAIDI GONGA HAPA
Liverpool's Premier League title hopes have gone up in smoke just as Jurgen
Klopp and Mohamed Salah started to run on empty, writes DOMINIC KING
-
DOMINIC KING: After that 1-0 defeat to Palace on April 14, Liverpool's
first at home in the Premier League for almost two years, Jurgen Klopp's
(left) deme...
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment