Mshambuliaji wa Leicester City, Ahmed Musa akigalagazana na kipa wa Tottenham Hotspur, Hugo Lloris kuifungia bao la kusawazisha timu yake katika sare ya 1-1 kwenye mchezo huo wa Ligi Kuu ya England. Bao la Spurs lilifungwa na Vincent Janssen kwa penalti baada ya yeye mwenyewe kuangushwa na Robert Huth PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Daniel Ricciardo parties hard with The Chainsmokers in Las Vegas just before Australian Grand Prix
-
Daniel Ricciardo has been spotted partying in Las Vegas alongside EDM duo
The Chainsmokers just days before the Australian GP - and fans are
overjoyed to s...
45 minutes ago
0 comments:
Post a Comment