Mshambuliaji wa Leicester City, Ahmed Musa akigalagazana na kipa wa Tottenham Hotspur, Hugo Lloris kuifungia bao la kusawazisha timu yake katika sare ya 1-1 kwenye mchezo huo wa Ligi Kuu ya England. Bao la Spurs lilifungwa na Vincent Janssen kwa penalti baada ya yeye mwenyewe kuangushwa na Robert Huth PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Woj: Warriors' Kenny Atkinson to Receive 2nd Hornets Head Coach Interview
-
The Charlotte Hornets plan to interview Golden State Warriors assistant
Kenny Atkinson a second time for their open head-coaching position, per
ESPN's A
Dakika 18 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni