Winga wa Azam FC, Ramadhani Singano 'Messi' akiwasili mjini Mwanza jana na timu yake Azam FC kwa ajili ya mechi mbili mfululizo za Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya Toto Jumatano na Mbao FC Jumamosi Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza
Beki Shomary Kapombe ambaye kama Singano walijiunga na Azam wakitokea Simba SC
Kiungo wa zamani wa Yanga, Frank Domayo naye yumo kwenye msafara wa Azam mjini Mwanza
Kocha wa Azam, Mspaaniola Zeben Hernandez Rodriguez ambaye timu yake juzi ilishinda 3-2 dhidi ya wenyeji Kagera Sugar mjini Bukoba
Wachezaji wa Azam wakitoa kwenye mizigo kwenye basi lao mara baada ya kuwasili Mwanza
Jude Bellingham's new girlfriend REVEALED: Model is 'completely smitten'
with the footballer and 'has been staying at his Spanish pad'
-
Jude Bellingham is reportedly dating a model since splitting from Asantewa
Chitty last year.
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment