Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid bao la pili katika ushindi wa 4-1 ugenini dhidi ya Alaves Uwanja wa Mendizorroza, Vitoria-Gasteiz kwenye La Liga. Ronaldo alifunga mabao matatu, moja kwa penalti na pia akakosa penalti moja wakati bao lingine la Real lilifungwa na Alvaro Morata na la Alaves lilifungwa na Acosta Deyverson PICHA ZAIDI GONGA HAPA
👕 Man City launch new home kit for 2022/23 season
-
Manchester City have officially unveiled their striking new home kit for
the 2022/23 season. The kit 'celebrates' Club legend Colin Bell, who was
famously ...
Dakika 33 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni