Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid bao la pili katika ushindi wa 4-1 ugenini dhidi ya Alaves Uwanja wa Mendizorroza, Vitoria-Gasteiz kwenye La Liga. Ronaldo alifunga mabao matatu, moja kwa penalti na pia akakosa penalti moja wakati bao lingine la Real lilifungwa na Alvaro Morata na la Alaves lilifungwa na Acosta Deyverson PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool summer signing 'linked with shock exit from Anfield after just
seven months'... with Galatasaray interested in signing the out-of-favour
star
-
One of Liverpool's summer signings from last year could be making a swift
exit from the club after falling down the pecking order at Anfield,
according to ...
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment