Mesut Ozil akishangilia baada ya kufunga mabao matatu peke yake katika ushindi wa 6-0 dhidi ya Ludogorets ya Bulgaria usiku wa Jumatano kwenye mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya. Mabao mengine ya Arsenal yalifungwa na Alexis Sanchez, Theo Walcott na Alex Oxlade-Chamberlain Uwanja wa Emirates PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Against Liverpool it's a good idea to defend! Thomas Frank hits back at
critics who say he's obsessed with opponents
-
The Spurs boss hit back at critics who claim his team are more concerned
with stopping opponents than imposing their own style and warned it might
be a goo...
15 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment