Mesut Ozil akishangilia baada ya kufunga mabao matatu peke yake katika ushindi wa 6-0 dhidi ya Ludogorets ya Bulgaria usiku wa Jumatano kwenye mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya. Mabao mengine ya Arsenal yalifungwa na Alexis Sanchez, Theo Walcott na Alex Oxlade-Chamberlain Uwanja wa Emirates PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Patrice Evra puts his £3.5m five-bedroom Manchester mansion on the market -
but why is there a mural of a Man City legend on wall?
-
Manchester United legend Patrice Evra is selling his former home - which
features a mini mural of an arch-rival who once rented it.
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment