Washambuliaji wa Manchester United, Wayne Rooney na Zlatan Ibrahimovic wakiwa wanyonge baada ya timu yao kufungwa mabao 3-1 na wenyeji Watford Uwanja wa Vicarage Road katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao ya Watford yalifungwa na Etienne Capoue, Juan Camilo Zuniga na Troy Deeney kwa penalti, huku la United likifungwa na Marcus Rashford PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Beloved Candy Store Chain to Close Over ‘Economic Pressures’ After 141
Years in Business
-
Lammes Candies, which first opened in 1885, will shut all of its Texas
location
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment