Washambuliaji wa Manchester United, Wayne Rooney na Zlatan Ibrahimovic wakiwa wanyonge baada ya timu yao kufungwa mabao 3-1 na wenyeji Watford Uwanja wa Vicarage Road katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao ya Watford yalifungwa na Etienne Capoue, Juan Camilo Zuniga na Troy Deeney kwa penalti, huku la United likifungwa na Marcus Rashford PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Trump admin spent $11B telling workers not to work after DOGE-inspired
cuts, report finds
-
Musk’s Department of Government Efficiency sent the ‘fork in the road’
email to federal employees in January 2025, allowing them to resign and
continue to ...
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment