Washambuliaji wa Manchester United, Wayne Rooney na Zlatan Ibrahimovic wakiwa wanyonge baada ya timu yao kufungwa mabao 3-1 na wenyeji Watford Uwanja wa Vicarage Road katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao ya Watford yalifungwa na Etienne Capoue, Juan Camilo Zuniga na Troy Deeney kwa penalti, huku la United likifungwa na Marcus Rashford PICHA ZAIDI GONGA HAPA
No player bigger than a club - is that changing for some fans?
-
From Lionel Messi and Cristiano Ronaldo to Erling Haaland and Jude
Bellingham, are star names a bigger draw than clubs for young fans?
17 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment